Akili Mingi ft Ordinally JamboSquad ​ -Nafurahi (NOIz

Msanii AkiliMingi anakuja na ngoma "NAFURAHI" akiwa amemshirikisha mwana Jambo Squad Jogoo Kichaa aka Dunia,au maarufu zaidi kama Ordinally Odii na mkono huu wa dancehall ni special kwa fans wote wa AkiliMingi na Ordinally JamboSquad umepikwa studio za Noizmekah Arusha